Ali Kiba Apika Bomu la Kumlipua Diamond...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii Alikiba ameingia katika orodha ya miongoni mwa wasanii wanaotarajia kufanya mapinduzi ya muziki kwa mashabiki zao kwa kutoa albam.

Baada ya kutua katika Jiji la Dar es Salaam akitokea nchini Afrika Kusini siku ya jana, 'King' Kiba aliwashukuru mashabiki zake kwa upendo walioonesha kwake kwa kumsubiria muda mrefu bila ya kukata tamaa na kusema endapo mambo yakienda vizuri na yaye anatarajia kuachia albam ambayo atafanya na wasanii wa kimataifa bila ya kuwasahau hapa bongo.

“Chochote kinaweza kutokea ila kwa sasa hivi niko 'busy' namalizia albam yangu mpya itakuwa na vichwa 'international' na 'local' itakuwa 'full' nadhani itatoka mwaka huu kama mambo yakiwa fresh Inshaallah Mungu asaidie”. Alisema Kiba

Vilevile msanii huyo amesema amefurahi na ameipenda sana zawadi aliyopatiwa na rapa chipukizi Harmorapa wakati amekwenda kumpokea katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam. 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad