Baada ya Kuwa Kimya kwa Kitambo,Ya Moto Band Waamua Kuvunja Ukimya..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Yamoto Band wiki hii wanajipanga kuachia wimbo wao mpya baada ya kumaliza tour yao ya kimataifa ambayo waliifanya katika mataifa 6.

Bendi hiyo ambayo imekaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia project mpya, wiki hii itaachia kazi mpya kwa mujibu wa mkurugenzi wa bendi hiyo, Mkubwa Fella.

“Mashaki watulie tu, muda wetu umewadia kabisa, ndani ya wiki kitu kipya tunaachia,” alisema Fella.

Alisema maandalizi ya project za bendi yako tayari na kwa sasa wanasubiri muda muafaka wa kuziachia tu.

Waimbaji hao bado kwa sasa wanafanya vizuri na wimbo wao Su.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad