AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Simba Sports Club imejiwekea utaratibu wa kila mwezi kutoa tuzo ya heshima na zawadi kwa mchezaji ambaye anakuwa amefanya vizuri katika mwezi husika ili kuwapa motisha wachezaji wao na kuwapa moyo wa kufanya vyema.
Katika mwezi wa pili, Simba Sports Club imemtangaza mchezaji wake Abdi Banda kuwa ndiye mchezaji bora wa mwezi wa pili.
Zoezi la kuwapata wachezaji bora katika klabu ya Simba linafanyika kwa mashabiki kutuma jina la mchezaji husika kupitia ukurasa wao wa Facebook
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK