Gavana wa Nairobi Atoa Vyeti vyake Hadharani, Alituhumiwa Kama Paul Makonda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mgombea ugavana jijin Nairobi (half-London of Africa)Michael Sonko Imemlazimu kuonesha vyeti vyake vya kitaaluma kuanzia elimu ya upili mpaka chuo kikuu baada ya kutuhumiwa amegushi vyeti vyake.

Tuhuma hizo zilizozuka siku za karibuni kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya na wapinzan wake kuwa Sonko anatumiia vyeti visivyo halal na kitendo hcho kinatafisiliwa km ukiukwaji wa sheria za uchi na kosa la jinai.

Kwa mfano bora alionesha Sonko pia 2napenda kumshawishi mbabe wa vita mkuu wa mkoa mwenye ushawishi kuliko wote aliyetimiza mwaka m1 wa utumishi uliotukuka,mbunifu,mleta dar mpya aige mfano kutoka kwa Sonko.

Na hapo chini ni attachment vyeti anuai vya Sonko vilivyo fanyiwa uchunguz na idara husika....Zamu yako sasa Watanzania Tunakusubiria Bro.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad