Haya Ndio Aliyosema Mama Salma Kikwete Baada ya Kuteuliwa Kuwa Mbunge,Azungumzia Pia Heshima Yake kwa Jamii..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya kupewa muda kuwasalimia wananchi kwenye Uwanja wa Michezo wa Mjini Lindi, Ilulu leo tarehe 3 Machi 2017; Pamoja na mambo mengine Mama Salma Kikwete amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli kwa kumteua kuwa Mbunge. Kwamba, tukio alilofanya Rais tarehe 1 Machi 2017 kwa kumteua kuwa mbunge limempa heshima kwake na mkoa wa Lindi kwa ujumla.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad