Kimenukaa..Askofu Gwajima Atangaza Vita Mpya Dhidi ya Makonda...!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa upande wake Gwajima, juzi alitumia ibada kwenye kanisa lake lililopo Ubungo-Maji kuonesha cheti cha matokeo ya kidato cha nne alichodai ni cha Makonda kilichoonesha alipata alama F kwenye masomo yote alipohitimu katika Shule ya Sekondari ya Pamba jijini Mwanza.

Gwajima alisema ngoma bado mbichi baada ya video iliyoenea mtandaoni ikionesha Makonda akivamia kwenye Ofisi za Clouds kwa kile kinachodaiwa kushindwa kurushwa hewani mahojiano ya mwanamke anayedaiwa kuzaa naye.

“Anachokifanya ni kuwasha moto wakati hana Zima Moto, kama Daudi Bashite ataendelea kunichokonoa, nitakuja na makombora mengine, nitapiga na moshi utatoka,” alisema Gwajima.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad