AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KWA maneno yaliyo jaa mahaba Mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi, amemsifia mkewe kwa kumvumilia kipindi chote akiwa katika utendaji wa kulitumikia taifa.
Aidha Hapi ameonesha wazi jinsi gani anampenda na kumuheshimu mkewe ambaye yeye anaamini kuwa uwepo wa mkewe unatija kubwa sana katika kuyakamilisha majukumu yake kifamilia na kitaifa pia.
“Pale unapokua umetimiza malengo na kumshukuru Mungu. Asante malkia wangu kipenzi kwa kunivumilia.” alimaliza Hapi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK