Wanajeshi Wanywa Damu ya Cobra Kambini...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanajeshi wa Kimarekani zaidi ya 3000, wapo katika mafunzo ya kijeshi huko Sattahip, Thailand yanayohusisha kunywa damu ya nyoka aina ya Cobra na kumchinja kuku hai kwa mdomo.

Wanajeshi hao wa jeshi la Wanamaji na mabaharia walioshiriki mafunzo ya siku kumi walifanya jaribio la kukata kichwa cha kuku mzima kwa mdomo na wanyama wengine jamii ya reptilia.

Kiongozi wa Jeshi la Wanamaji, Harry B. Harris alisema katika taarifa yake kuwa mafunzo hayo yanajumuisha namna ya kukabiliana na wanyama wa porini, kujihami na wanyama mazoezi makali ya moto.

“Kunywa damu ya cobra ni sehemu ya mafunzo ya kukabiliana na mazingira ya porini.” alisema Harris

Pamoja na Marekani, nchi nyingine zilizoshiriki katika mafunzo hayo makali ni Thailand, Singapore, Japana, Indonesia na Malaysia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad