AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii ni maalum kwa akina dada kujua tabia za wanaume wanaotumia mitandao ifuatayo.
VODACOM
~Wanaume wa mkoa huu ndio mtandao wao mkuu. Yaani hapa huwaambii kitu kabisa
~Wanaume wengi wanaotumia voda ni bahili sana
~Unatumiwa na wanaume wengi wanaofanya biashara za kati na ndogo ndogo
~Unapendwa sana na wanaume wa mikoa ya kaskazini
TIGO
~Ni mtandao unaotumiwa zaidi na vijana hasaa wanafunzi wa sekondari na wale wachuo
~Kama wewe ni mwanamke mchunaji mwenzangu hapa kupata vibuzi vya maana ni ngumu
~Ni mtandao unaopendwa na wanaume wa kipato cha chini
~Wanaume wa tigo wengi ni vijana wapenda miteremko na ofa za bure
AIRTEL
~Ni mtandao unaopendwa na wanaume wa mkoa wachache hasaa wale wa mkoa wa mara na wale wanaotoka bukoba akina Rweyemamu
~Mtandao huu unapendwa sana na wanaume wasomi
~Ukipata buzi hapa umelamba dume kwani sifa ya wanaume wa mtandao huu sio bahili
HALOTEL
~Unapendwa na vijana wengi wapenda miteremko na ofa za bure
~wanaume wengi wanatumia mtandao huu huwa na macho mekundu kutokana na kukesha usiku sababu ya kupenda ofa za Data
~Ni ngumu kupata kibuzi cha maana humu
Tuandikie na Wewe Uzoefu Wako Juu ya Suala Hili...!!!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK