Zijue Tabia za Wanaume Wanaotumia Mitandao ya VODA/AIRTEL/TIGO na HALOTEL..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hii ni  maalum kwa akina dada kujua tabia za wanaume wanaotumia mitandao ifuatayo.

VODACOM

~Wanaume wa mkoa huu ndio mtandao wao mkuu. Yaani hapa huwaambii kitu kabisa
~Wanaume wengi wanaotumia voda ni bahili sana
~Unatumiwa na wanaume wengi wanaofanya biashara za kati na ndogo ndogo 
~Unapendwa sana na wanaume wa mikoa ya kaskazini

TIGO

~Ni mtandao unaotumiwa zaidi na vijana hasaa wanafunzi wa sekondari na wale wachuo
~Kama wewe ni mwanamke mchunaji mwenzangu hapa kupata vibuzi vya maana ni ngumu
~Ni mtandao unaopendwa na wanaume wa kipato cha chini 
~Wanaume wa tigo wengi ni vijana wapenda miteremko na ofa za bure

AIRTEL

~Ni mtandao unaopendwa na wanaume wa mkoa wachache hasaa wale wa mkoa wa mara na wale wanaotoka bukoba akina Rweyemamu
~Mtandao huu unapendwa sana na wanaume wasomi
~Ukipata buzi hapa umelamba dume kwani sifa ya wanaume wa mtandao huu sio bahili

HALOTEL

~Unapendwa na vijana wengi wapenda miteremko na ofa za bure
~wanaume wengi wanatumia mtandao huu huwa na macho mekundu kutokana na kukesha usiku sababu ya kupenda ofa za Data
~Ni ngumu kupata kibuzi cha maana humu

Tuandikie na Wewe Uzoefu Wako Juu ya Suala Hili...!!!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad