ALI Kiba na Ruby Wadaiwa Kuwa Wapenzi Ukaribu wao Wazua Maswali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


DAR ES SALAAM: Ukaribu wa sexy lady wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ na MbongoFleva, Ali Salehe Kiba ‘King Kiba’, unadaiwa kuzua maswali kwa kuwa, jamaa huyo siku chache zilizopita alimvisha pete ya uchumba mwandani wake aitwaye Amina kutoka nchini Kenya.


Siku chache zilizopita uliibuka uvumi kuwa, mastaa hao kwa sasa wanatoka kutokana na ukaribu wao ambao umezua gumzo huku swali la wengi likiwa kama ni kweli hiyo ni ‘pea’ mpya Bongo, vipi kuhusu Amina?


Kufuatia ishu hiyo, Wikienda lilianza kwa kumtafuta Ruby na kumuuliza kama taarifa za ‘kuchepuka’ na Kiba zina ukweli ambapo alijibu kwa kifupi: “Sorry, sitaki kuulizwa kuhusiana na hayo mambo, naomba niulizwe kuhusu kazi zangu tu!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad