AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
#AmberLulu kupita ukurasa wake Instagram alikuwa mubashara ameweza kuonesha ushabiki wake hadharani na mapenzi yake kwa #DiamondPlatnumz.
Akiwa mubashara kupitia kwenye akaunti yake ya Instagram amesema kuwa ajaona Msanii yoyote ambaye anaweza kumlinganisha na #Diamond kwani ni msanii mkubwa Afrika hata #AliKiba bado ajafika level za #DiamondPlatnumz
#Amberlulu👉“Diamond ni msanii mkubwa sana Afrika hata Ali Kiba atii mguu hata kidogo hata ukiangalia katika timu yake Mond yuko vzuri na hata madensa wake wanaishi vizuri hata mtu anayemlinganisha Kiba na Chibu anakosea sana”Alisema
.
.
JE, KAULI YA AMBER_LULU INA UKWELI WOWOTE???
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu akafanywe na mwendawazimu. kwanza
ReplyDelete