AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gwajima Kuhusu Makonda leo kwenye Ibada ya Ijumapili ya April 9, 2017: "kwanza huwa najiuliza Rais Magufuli akimtoa Leo Makonda, atampeleka wap? Ila ninaushauri mmoja, ampeleke kwenye Balozi zetu nje ya nchi, akimtoa na kumuacha hapa hapa watu watamgawana,
...Akiendelea kumuacha ipo siku atafanya vitu vya kuaibisha na vya ajabu, kwanza Mimi ningekuwa Makonda ningekuwa nimeshaondoka siku nyingi,
Na hayo Mambo ya Ajabu yatakuja kutokea bado niko hai"
Hata hivyo Gwajima amesisitiza kuwa ataendelea kuzugumzia sakata la vyeti kuhusu Makonda nauacha haya Mengine mengine
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ahh...!! Gwaji unaubavu wa kutoa ushauri. Hiyo Barua ya ushauri umempa Balozi Kijazi au Afande mlangoni
ReplyDeleteBora wewe Gwajima ungelihama hii nchi tushakuchoka. Mchungaji gani wewe mwenye gubu na uchochezi kama mana siasa. Ulianza na Dr slaa sasa makonda. Muache makonda afanye kazi yake na wewe endelea kutajirika. Kwani wajinga ndio waliwao. Please let makonda be.find another victim to traumatise you big bully
ReplyDeleteHuyu Mchungaji labda mchungaji wa ngombe siyo kanisa.
ReplyDeleteHiyo ni nature wa watu wafupi kuwa ni wabishi na kujifanya kila kitu wanajua wao
ReplyDelete