BREAKING NEWS..Kamati ya Maadili ya TFF Yamsimamisha Haji Manara wa Simba kwa Mwaka 1 na Faini ya Milioni 9..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kamati ya Maadili ya TFF imemsimamisha Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Haji Manara kujihusisha na soka ndani na nje kwa muda wa miezi 12 na faini shilingi milioni 9 vyote kwa pamoja

Mapema wiki hii TFF ilimfungulia mashtaka Manara kwenye Kamati hiyo inayoongozwa na Wakili Jorome Msemwa kutokana na kauli alizotoa wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Simba SC.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad