AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamati ya Maadili ya TFF imemsimamisha Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Haji Manara kujihusisha na soka ndani na nje kwa muda wa miezi 12 na faini shilingi milioni 9 vyote kwa pamoja
Mapema wiki hii TFF ilimfungulia mashtaka Manara kwenye Kamati hiyo inayoongozwa na Wakili Jorome Msemwa kutokana na kauli alizotoa wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Simba SC.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK