DIAMOND Aelezea Jinsi Young Killer Alivyopagawa Baada ya Kumpa Biti Wafanya Collabo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa Hiphop Tanzania anaewakilisha vema rock city Young killer Msodoki alipagawa baada ya kupewa taarifa ya kuwepo kwenye wimbo wa pamoja na Boss wa wasafidotcom Diamond Platinumz.

Diamond Platinumz amesema kuwa anayo kolabo na rapa @Youngkillermsodokii na siku aliyomuita studio kumpa taarifa za kuwa watafanya kazi pamoja rapper huyo alipagawa na hakuamini alichokisikiana.

Msikilize diamond platinumz hapo juu akieleza zaidi:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad