AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Juzi Rais wa zamani JK alipoenda Bungeni inasemekana alishangiliwa zaidi na Makamanda wa Chadema, kuliko hata Wabunge wa CCM tafsiri nyingi sana zimetolewa ku justify kitendo hicho na hii ya kuitwa itwa Ikulu kupata Chai na Juice, inatajwa kuwa ni mojawapo ukizingatia kwamba Rais wa sasa ameshasema kwamba ni wakati wa kazi tu sio kukaa kaa na kucheka cheka na kunywa Juice ikiwa ni pamoja na kubana matumizi,
By Lemutuz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hawana lolote unafiki tu unawasumbua, hao CHADEMA si ndio waliokuwa wakimsema kila uchao
ReplyDeleteLWMUTUS UMENIKOSHA MDOGO WA KUKAYA. MILIMO DU ILIBAHA. MKULU AKUTYA. HAPA KAZI TU. UMENENA WA MWETU.
ReplyDeleteHow...!!!
ReplyDelete