Kimenukaaa..Askofu Gwajima Kumshughulikia Halima Mdee..Ni Baada ya Kumtukana Spika..Mtaka Afanye Haya Ili Wayamalize..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Askofu Gwajima katika Ibada ya Jumapili amezungumzia vitu/watu watatu nchi Tanzania. 

Amezungumza kuhusu Diamond kumshambulia katika wimbo wake, na amesema mtu wa Mungu huwa hashambuliwi na binadamu. Amedai kuwa atazungumzia kuhusu Diamond kujiunga Chama cha Freemason na alijiunga lini, wapi na kafara gani alitoa ili aweze kukubaliwa kujiunga. Mchungaji Gwajima alishusha pumzi na kusema hatamoiga Diamond baada ya Diamond kujirudi na kumuomba msamaha Askofu Gwajima. Mchungaji Gwajima ameinukuu Biblia na kusema inakataza kumchapa/kumpiga mtu aliyeomba msamaha.

Kuhusu Makonda, Askofu Gwajima amesema Bashite anahusika kwa utekaji wa Msanii Roma, amesema mtu huyo huyo aliyevamia kituo cha Habari Clouds Media ndiye huyo huyo mtekaji kwasababu ana mtu wa kumkingia kifua. Pia amemtaka Bashite akajifiche huko kwenye Balozi kama Congo na kwingineko ili akajiendeleze na Elimu ya QT au MEMKWA maana akibako hapa Tanzania watu watamgawana akiingia mtaani.

Askofu Gwajima kuhusu Halima Mdee kumtukana Spika wa Bunge la Jamhuri, amemtaka Mbunge Halima Mdee kuacha mara moja kumtukana Spika maana ni moja ya Mhimili wa Dola. Amesema kuwa Halima Mdee asipoomba msamaha basi Jumapili ijayo atamchapa ipasavyo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad