AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MCHEKESHAJI kutoka Kenya, Eric Omondi, katika projeti yake ya kuchekesha maarufu kama ‘How To Be’, amemuigiza Rais wa Marekani, Donald Trump, wakati alipokuwa akigombea urais wa Marekani.
Video hiyo imemwonyesha Omondi akifanya vituko vya Trump wakati akiomba kura kwa Wamarekani akionekana kuwa mtu jeuri na mwenye kujiamini kupita kiasi wakati wa kinyang`anyiro hicho.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK