Mwalimu Mkuu Kaeleza Changamoto za Shule, Kapata Misaada ,Kashushwa Cheo..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tanzania ni nchi ya ajabu sana tena sana ,,Kuna mkuu wa shule iringa huko shule ya msingi kibonzile( sina hakika na jina la shule na wilaya) kashushwa cheo kwa kosa la kuziongea changamoto za shulen kwake ,

Baada ya kuziongea wahisan wakajitokeza na kutoa misaada ya ukarabati 

Lakin katika hali ya kushangaza na ujinga wa baadhi ya viongozi tulio nao ,mwana mama huyo ameshushwa cheo eti amekiuka taratibu za utumishi na afisa elimu ana jasifu bila kwa ujasiri kabisa , mbona swala la madawati liliongelewa kwa uwazi ??

Mamlaka husika mmulikeni afisa elimu wa wilaya hiyo anaye muadhibu mwalimu kwa kuwa mkweli kueleza changamoto za shule yake ili ipate kurekebeshwa na kweli wahisan wamejitolea kusaidia shule hiyo ,

HUU NI UNYANYASAJI AFISA ELIMU HUYO ANATUMIA VIBAAYA MADARAKA YAKE.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad