AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu wa itikadi, siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amemtaja mshambuliaji wa RCK Genk, Mbwana Samatta kama mwanasoka pekee anayemvutia hapa nchini.
Akizungumza katika mahojiano maalum katika ofisi za gazeti la Mwananchi, Tabata Relini, Polepole alisema juhudi za Samatta ambaye ni nahodha wa timu ya taifa, Taifa Stars ndizo zinazofanya avutiwe naye.
"Napenda kuona vijana wetu wanapata mafanikio kwenye soka hivyo mchezaji wa soka ambaye ninampenda ni Mbwana Samatta.
Huyo tu kwa upande wangu ndiye anatosha kwa ndani na nje ya nchi na hakuna mwingine anayenivutia zaidi yake," alisema Polepole.
Polepole alifichua kuwa yeye ni shabiki wa kutupwa wa klabu ya Yanga.
Credit - mwananchi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK