AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Quick Rocka amejitokeza na kudai kuwa hatoki kimapenzi na malkia wa filamu, Kajala Masanja na kusema hizo ni stori za uongo.
Quick Rocka aliwahi kupost video mtandaoni akidendeka na mrembo huyo.
Akiongea katika kipindi cha FNL cha EATV, akitambulisha video yake mpya ya wimbo ‘Down’, Quick Rocka amesema hajawahi kutoka na mrembo huyo wa Bongo Movie.
“Stori kuwa nilikuwa natoka na Kajala ilikuwa ya uongo, usitake nitafutia matatizo” alisema Quick Rocka huku akiwa anacheka.
Kwa sasa, imeonekana wawili hao hawana ukaribu kama ilivyokua zamani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK