AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kwa mara ya kwanza amepigwa picha akiwa amenyoa nywele zake wakati alipohudhuria mazishi ya mwanajeshi wa zamani.
Wengi wanaamini ni mara ya kwanza Mugabe kunyoa nywele zake na hata ndevu.
Picha hizo zimeonekana baada ya kuchapishwa katika mitandao ya kijamii na kuvutia watu wengi hasa raia wa Zimbabwe waliotoa maoni yao.
Baadhi wamesema kuwa mtindo alionyoa umechangia aonekane kijana huku wengine wakisema kuwa wameshangaa kitendo hicho na kujiuliza lengo lake ni lipi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK