Sugu: Mbunge Mlinga wa CCM Anatukana Mbona Naibu Spika Anamlinda Tukiomba Mwongozo..!!!?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi amehoji inakua vipi mbunge wa Goodluck Mlinga wa CCM amekuwa akitukana wapinzani mara kwa mara bungeni ila hachukuliwi hatua

Amesema walipoomba mwongozo wa matusi ya mbunge huyo naibu spika alisema tukio hilo lilitokea siku iliyopita hivyo halipaswi kuzungumziwa lakini Freeman Mbowe aliitwa kwenye kamati ya maadili kutokana na kauli iliyoombewa muongozo na Kangi Lugola ambayo Mbowe aliitamka na siku tatu zilipita
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad