Ukwepaji Kodi: TRA wawashusha Serengeti Boys njiani walipokuwa wakielekea kwa Makamu wa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mamlaka ya Mapato Tanzania Wamewashusha Njiani Timu ya vijana chini ya miaka 17 TRA wakilitaka Basi lililokua limewabeba vijana hao ili kulipiga mnada waweze kulipa deni la kodi.

Ni hatua nzuri kama unashindwa kulipa madeni maana yake umefilisika na kama umefilisika Mali zako zitauzwa na Cha kwanza Kulipwa huwa Kodi kama unadaiwa na Wadai wengine

Hii ni Hatua nzuri na fundisho kwa Taasisi zingine zinazokwepa kulipa kodi na Alarm hii inaonesha kuwa Nchi hii si yawapiga dili tena.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. TRA must be crazy. There's a better way than this.

    ReplyDelete
  2. TRA must be crazy. There's a better way than this.

    ReplyDelete

Top Post Ad