AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi inawahoji wanachama wa CUF waliovamiwa na watu waliovaa ‘mask’ katika ukumbi wa Vina Hoteli, Mabibo leo.
Polisi imeshafika eneo la tukio na inawahoji wanachama hao w wanaomuunga mkono Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad waliokuwa wakifanya mkutano wao wa ndani.
Pia Polisi inawahoji waandishi wa habari waliopo eneo la tukio.
Inaelezwa kuwa watu wanne, waliovaa soksi nyeusi usoni (mask) walivamia mkutano huo wa CUF wakiwa na mapanga na bastola.
Tutaendelea kukujuza yanayoendelea kuhusu habari hii.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK