ALIYEKUWA Mke wa Sugu Faiza Ally Akinukisha Tena Huko Instagram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu, Faiza Ally ambaye pia ni mama wa mtoto mmoja, amefunguka mengi kuhusu watu wanaomfuatilia kupitia mitandao ya kijamii.


Faiza Ally

Muigizaji huyo ambaye alikuwa mke wa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu, amedai anaumizwa sana na komenti hizo kutoka mitandaoni.

“Huna hizi komenti huwa nazichukia sana na huenda mkawa mnahisi labda zina nifurahisha, oh nilikua sikuelewi sasa nimekuelewa,  oh wakuseme kwa yote sio malezi, yote yapi unayo yajua wewe kuhusu maisha yangu?.  Oh siku hizi umetulia hivi unanijua mimi mpaka unasema as ni kama mtu anae nifahamu sana?.  Hivi mna jua maana hizi comment kweli?,”  Faiza Ally aliandika Instagram.

Aliongeza, “Nikikuuliza yapi mengine utajibu nini ? . Chupi au kipande cha tako? ni nini unacho kijua kwenye maisha yangu zaidi ya mavazi ?. Je hayo ndio yanayokupa nafasi ya kunijua mimi ni nani? Guys pls stop that stupid comment on my page I am more than that sawa????? First you all should know kuwa mama ni jukumu so haliingilini na chochote… nikikwambia sifa nilizo nazo kwangu kwenye familia yangu pengine no one of you mnazo au mnaweza kunifikia kwa hivyo nina jisikia vibaya vijitu vya insta visivyo jielewa just be coz vimeona picha za tako na chupi au vimebebwa na mabwana wenye hela au labda vimeolewa basi kujifanya vinaweza kunijaji! Ktk maisha yangu mm ni bora zaidi ya yoyote … sio mwenye digrii wala kiongozi wala mke wala yoyote ! Na to cut long story short sijaanza kumlea tu sasha nimeanza kulea familia in a very young age and i maneji kusomesha Watoto zaidi wa tatu na mmoja Leo yuko form four sawa ?? So I am not only a mom … ni shangazi,ni dada,na mama wa mama Yangu na baba Yangu mzazi… na sikukua na elimu wala sikua na jina la baba wala la yoyote na sijawahi kuwa mdananda kwa namna yoyote …. I AM WHO I AM TODAY BE COURSE OF ME …. nguvu zangu akili,zangu uwezo wangu ndio umenifanya niwe mm bila hata kutegemea ada ya nyumbani… na sibebwi na jibeba !!!! save ur stupid comment kwa wajinga wenzio i am not one them !!!! 😏,”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad