AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tetesi za nahodha wa Azam FC na mshambulizi tegemeo John Bocco kuwa ametemwa na klabu yake ya Azam FC zinaendelea kuenea kwa kasi kila kona kwenye mitandao ya kijamii.
Kumekuwa na taarifa kwamba Azam FC wameamua kuachana na Bocco ambaye ameichezea klabu hiyo tokea ianzishwe.
Ambacho kinaonekana kuwashitua mashabiki ni Bocco kutupia maneno kadhaa ya mafumbo kwenye mitandao ya kijamii ambayo wengi wametafsiri kuwa huenda akawa anaaga.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK