AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Star Mix, Mbasha alisema kutokana na changamoto kubwa aliyoipata kwenye ndoa, kila mwanamke anayemuona anamuogopa kwa kuwa ameshaumizwa kwa hiyo kwa wakati huu ameelekeza nguvu zake kwenye kazi.
“Unajua ukishaumwa na nyoka hata jani likikugusa unaogopa hivyo sina haraka ya kuoa kwa sasa, bado nipo namuomba Mungu akinionyesha nitaoa na kama haijampendeza basi nitabaki hivihivi,” alisema Mbasha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK