AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dogo Janja amesema hayo leo alipokuwa kwenye kipindi cha 5Selekt na kusema jambo hilo alilofanya Ben Pol linahitaji moyo na kusema inawezekana kwa sasa likawa na faida kwa msanii huyo ila athari ya kitendo hicho atakuja kuiona baadaye.
"Labda brother alijiuliza akivaaje atapendeza akaamua asivae kitu tu mbona freshi, lakini mimi sidhani kama nitaweza kufanya jambo kama lile kuwaonyesha watu 'Too much' hapana aisee, vitu kama vile vinaishi milele. unaweza kufanya leo ukapata maslahi lakini kesho kikawa na athari katika maisha yako" alisema Ben Pol
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK