Ben Pol ni Shujaa Kupiga Picha Uchi - Dogo Janja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya msanii Ben Pol kupiga picha zenye ukakasi na kuzipost kwenye ukurasa wake wa Instgram rapa Dogo Janja ameibuka na kusema kuwa kitendo alichokifanya Ben Pol ni kitendo cha kishujaa sana kwani wengi hata yeye asingeweza kufanya jambo hilo.

Dogo Janja amesema hayo leo alipokuwa kwenye kipindi cha 5Selekt na kusema jambo hilo alilofanya Ben Pol linahitaji moyo na kusema inawezekana kwa sasa likawa na faida kwa msanii huyo ila athari ya kitendo hicho atakuja kuiona baadaye.

"Labda brother alijiuliza akivaaje atapendeza akaamua asivae kitu tu mbona freshi, lakini mimi sidhani kama nitaweza kufanya jambo kama lile kuwaonyesha watu 'Too much' hapana aisee, vitu kama vile vinaishi milele. unaweza kufanya leo ukapata maslahi lakini kesho kikawa na athari katika maisha yako" alisema Ben Pol
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad