AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mnamo tarehe 12 mwezi Machi mwaka huu, Mwandishi Jon Yeomans wa gazeti la telegraph la nchini Uingereza alifanya mahojiano na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya ACACIA, Brad Gordon.
Pamoja na mambo mengine, Mtendaji Mkuu huyo wa ACACIA alisema kwa kukiri kuwa mikataba/makubaliano kuhusu uchimbaji wa madini pamoja na kuwa ya kisheria lakini hayakuwa ya usawa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hili kwanza la mikataba hiyo ya madini. kwamba ni mibovu haiko sawa Tanzania inaibiwa. kiujumla bara lote la Africa ndio hivyo hivyo. limezungumziwa sana hilo swala na hiyo compuni ya wacanada wanavyowakomba nchi masikini na kupeleka utajili kwenye nchi yao. Lakini ya yote ni ubovu wa Viongozi wazembe na wenye upungufu wa 1Q. ndivyo wanavyosema INTEGENT Qurity kwa wafrica ni ndogo. hao wanaojita Viongozi sidhani kama akili zao zinafanya kazi vizuri katika bara hili na Tanzania kiujumla
ReplyDelete