DC wa Iringa Richard Kasesela Aamua "Kulipa" Pozi la Picha ya Kikwete

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzee wa "Mapicha",Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kasesela,ameamua kumlipa JK kwa pozi la kwenye sofa.

Siku mbili hizi katika mitandao ya kijamii,kulienea picha ya Rais Mstaafu JK akiwa amepozi kwenye sofa huku anaperuzi na kudadisi kilongalonga chake.

Kasesela akaona isiwe tabu,ngoja na yeye alipe pozi la swahiba wake JK ili waende sambamba.
Pichani ni JK na Kasesela katika picha yenye mfanano wa mapozi

Unampa Maksi ngapi kwa Kupatia pozi?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad