Gwajima aununua Mgogoro wa CUF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Ni rafiki yangu amenieleza masikitiko yake kuhusu  mgogoro uliokuwepo CUF nitalifanyia kazi  suala hilo nitatoa majibu" 

Ni kauli ya Mchungaji wa Kanisa Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima baada ya mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalimu Seif Sharifu Ahmadi. 

Maalimu Sief alifika Ofisini Kwa Mchungaji Gwajima saa 10 kasoro, na kuanza mazungumzo yao yaliyochukua takribani saa moja. 

walipomaliza mazungmzo hayo waandishi wa Habari walipotaka kujua undani wa mazungmoz hayo wote (Maalimu Seif na Gwajima) waligoma kueleza walichozungumza. 

Maalimu Seif amesema kuwa yeye na Gwajima ni marafiki wa muda mrefu hivyo amezungumza na rafiki yake masuala mbalimbali yanayohusu taifa.

 


  
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad