HARMONIZE Ataja Mkwanja Anaoingiza Youtube kwa Mwezi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva kutoka lebo ya WCB, Harmonize  ameweka wazi kiasi cha pesa anachoingiza kupitia mtandao wa Youtube kwa Mwezi .

Harmonize amesema watu wanashangaa kuona anatembelea magari ya kifahari ila hawajui tu kuwa muziki unampa Connections nyingi kwani mbali na show pia anaingiza mkwanja mrefu kupitia mtandao wa Youtube ambapo amefunguka kuwa anaingiza kiasi cha Dola za Kimarekani 3,500 kwa mwezi.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu Kupitia muziki umenikutanisha na watu wengi,Umenipa Dili napata riziki kwenye njia tofauti tofauti,sio tu kwenye show,licha ya kufanya show nauza nyimbo zangu kwenye Platform,Mimi akaunti yangu ya Youtube kila mwezi nalipwa Dola 3,500“Amesema Harmonize kwenye mahojiano yake na kipindi cha leo tena cha Clouds FM.

Harmonize kwa sasa ambae anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Niambie’ anatarajia kuanza Tour yake ya muziki wikiendi hii mkoani Mtwara.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad