Kanye West ashangaza mashabiki wake, baada ya kafuta akaunti zake zote

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Boss wa kampuni inayotengeneza mavazi ya Yeezy ,ameushangaza ulimwengu kwa kufuta akaunti zake za mitandao ya kijamii.

Kanye ameamua kufuta akaunti yake ya Instagram pamoja na ile ya Twitter. Kufutwa kwa akaunti za rapa huyo kulianza kujulikana siku ya jana baada ya mashabiki zake kushangaa kutomuona kila walipokuwa wakimtafuta kwenye mitandao hiyo.

Mr. West ameamua kujiweka katika maisha ya kawaida hasa kwa upande wa kuonyesha kila anachofanya kupitia mitandao tangu alipotoka hospital mnnamo mwaka jana baada ya kupata stress za kupindukia na kushindwa hata kufanya shows.

Kwa sasa Kanye na Kim wameamua kubadilisha mfumo wa maisha kwa kutopendelea kuonyesha mali zao kwa kuzinadi katika mitandao ya kijamii.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad