AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amechaguliwa kuwa mwenyekiti mwenza wa Baraza la Kimataifa la Wakimbizi.
Rais Kikwete amechaguliwa kushika wadhfa huo wakati akiwa bado ni Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Afya (High-Level Panel on Global Responses to Health Crises).
Itakumbukwa kuwa mwaka juzi, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon alimteua Rais Kikwete kushika wadhfa huo.
Na sasa amekuwa tena kiongozi wa ngazi ya juu wa baraza hilo la kimataifa, ambapo katika nafasi hiyo atakuwa na wenyeviti wenza ambao ni Hina Jilani kutoka Pakistan na Rita Sussmuth kutoka Germany.
Mwenyekiti aliyechaguliwa kuongoza baraza hilo lililoanzishwa mwaka 1951 ni Lloyd Axworthy kutoka Canada.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK