KIMENUKAA..Mbowe Aibua Upya Sakata la Escrow Bungeni..Amswalika Maswali Magumu Waziri Mkuu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amemuuliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu kutokutekelezwa maazimio ya Bunge ikiwemo Escrow, Tokomeza na mabilioni ya Uswiss.

Akijibu swali hilo Majaliwa alimuhakikishia Mbowe kuwa Serikali inaheshimu muhimili wa Bunge na kuthamini maamuzi yake.

Amesema kunahitajika uchunguzi wa kina na yapo ambayo yana umuhimu wa kuletwa bungeni hivyo uchunguzi wa Serikali utakapokamilika yatawasilishwa bungeni.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad