AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa CUF na Maalim Seif ni Katibu Mkuu ila tatizo hafiki ofisini ilimpangie majukumu yake.
Pia amesema kuwa yeye na Dkt. Slaa hawakusaliti vyama vyao, walisimamia misingi halisi ya vyama. Waliowasaliti ni wale waliomkaribisha Lowassa.
Maalim Seif anatumia ubabe kuwadhibiti Wabunge ambao wananiunga mkono wapo Wabunge 42 wenye msimamo ni wawili tu.
Aidha Prof. Lipumba amekiri kuwahi kuwa mwanachama wa CCM lakini hakuwahi kuwa mwanachama kindakindaki alikuwa mwanachama wa kawaida tu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK