AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanasheria wa CHADEMA, Rais wa Chama cha Wanasheria (TLS) na mbunge Tundu Lissu amesema kuwa Bunge Live tusahau kwa sasa mpaka CCM itoke madarakani!
Katika mahojiano Lissu ameeleza pia kuwa yeye kama Rais wa TLS anaona kuwa kuna umuhimu wa kuhakikisha kuwa kikatiba juhudi zinafanywa kupunguza madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na pia kuhakikisha viongozi wanafuata katiba na siyo kufikiri matamko yao ndiyo sheria.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK