AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mataifa saba yenye nguvu za kiuchumi duniani maarufu kwa jina la G7 yametofautiana na Rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu makubaliano ya Paris ya mabadiliko ya Tabia ya nchi ambayo yamelenga kupunguza hewa chafu duniani.
Viongozi wa G7 wametoa msimamo wao kuhusu Marekani kuwa endapo Trump hatokubaliana na makubaliano hayo basi Marekani itakuwa imejiondoa katika umoja huo wa G7.
Hata hivyo, katika taarifa iliyotolewa na umoja huo imesema kuwa Marekani haitaungana na mataifa hayo yenye nguvu duniani katika makubaliano ya mabadiliko ya Tabia nchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK