AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho anasema kuwa atawapumzisha baadhi ya wachezaji wake katika mechi ya siku ya Jumapili dhidi ya Arsenal.
Ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya klabu ya Uhispania Celta Vigo siku ya Alhamisi ulikuwa wa 10 tangu mwezi Aprili.
Huku kikosi hicho cha Mourinho kikiwa katika nafasi ya tano katika Msimamo wa ligi ya Uingereza, ligi ya kombe la Europa inaweza kuwapatia fursa ya kushiriki katika kombe la vilabu bingwa Ulaya msimu ujao.
”Wachezaji ambao wameshiriki katika mechi nyingi hatawachezeshwa wikendi”, alisema Mourinho.
Mpira wa adhabu wa Marcus Rashford uliipatia United ushindi katika mchezo wakwanza na nchini Uhispania huku mcezo wa marudiano ukitarajiwa kupigwa siku ya Alhamisi ijayo katika uwanja wa Old Trafford.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK