MREMA: Tusiangaike na Mateja, Tukamate Mapapa..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa bodi ya Parole Taifa, Augustino Mrema ameliomba Jeshi la Polisi nchini kuacha kuhangaika na watumiaji wa madawa ya kulevya (mateja) wasiojiweza na kuwapeleka magereza bali wasaidiwe kwa kupelekwa vituo vya kuwasaidia waathirika wa dawa za kulevya.

Mrema aliyazungumza hayo leo katika kipindi cha East Africa Breakfast cha EA radio na kusisitiza, jeshi la polisi linapaswa kuhakikisha wanaowapeleka magereza wawe mapapa wa dawa za kulevya ambao ni chanzo cha mateja nchini.

Alisema kuwa kuwakamata na kuwapeleka Magereza mateja ni sababu moja wapo ya msongamano wa wafungwa pamoja na wanachi kupenda kesi na visasi kwa kushindwa kumalizana mitaani.

"Wananchi wamekuwa sababu ya misongamano magerezani kwani kesi nyingine ni ndogo za kuweza kumalizana nyumbani lakini wanaamua kukomoana kwa kupelekana polisi hadi kufikia kufungana," Alisema Mrema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad