Mwanamke Wangu Hataki Nione Nyeti zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza , Mimi sijaoa  ila nina mpenzi sasa mpenzi wangu huyu mpya ananishangaza sana, tukiwa faragha mimi huwa sio mtu wa kujifichaficha huwa najiachia tu kama nilivozaliwa siogopi wala kuona aibu maana tunakuwa wawili tu , ila yeye sijawahi kumuona uchi wake kiukweli, kwanza hapendi tuonane mchana na usiku anataka nizime taa nashindwa kuelewa sababu ni nini?

Akilala kwangu asubuhi anavaa chupi akiwa kajifunika shuka, kifupi anajiziba ili nisione nyeti zake jambo hilo linanipa mawazo sana.

JE sababu ni nini?
Mwanzo nilidhani labda ni aibu ya upya hajanizoea ila ni mwezi wa tatu huu tangu tuanze mapenzi na huwa tunado karibia mala mbili kwa wiki anakuja jumamosi home na anakuja na jumatano,   hivyo kama ni kunizoea basi kanizoea sana na viutani vya kutosha vipo sana ila suala la kuona uchi hapo kwake ni pagumu, sasa ningetaka kujua hivi inaweza ikasababishwa na nini hiyo kitu ?

Ushauri Tafadhali
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Acha ushamba wewee piga kitu mtoto bado bikra huyooo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unatakiwa upate training ya mapenzi, make wote hamjiewi.
      Mapenzi sio vita.

      Delete
  2. Tatizo nyie wote ni washamba wa mapenzi ila mwanaume zaidi utajikuta unatobolewa mtoto bado unamwangalia tu kwanza huyo mtoto kabila gani

    ReplyDelete

Top Post Ad