AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati viongozi hao wakiendelea kuhojiwa na Polisi Arusha, millardayo.com na AyoTVzinakukutanisha na video ya sehemu ya vilivyokua vinazungumzwa ndani ya mkutano huo kabla ya Polisi kuvamia.
Hii video hapa chini Katibu wa chama cha Wamiliki wa Shule binafsi mkoa wa Arusha Leonard Mao alikua anaongea
“Nilitangaza kwa niaba ya Watanzania siku ya kuaga ile miili 35 kwamba tutaendelea kuchanga rambirambi zetu na kwenda kuwaona wale wazazi mmoja baada ya mwingine“
“Hakuna hata senti ya mtu itakwenda pembeni…. hatumpi mtu hata kwenye shule ya Vicent, ni waliofiwa wenyewe mkono kwa mkono
’ FULL VIDEO NDIO HII HAPA CHINI UNAWEZA KUPLAY UKAJIONEZA ZAIDI:
My take, ni uhuni uliopindukia kuvamia na kuharibu shughuli ya uwasilishwaji wa rambirambi zilitolewa kwa wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki laana iwe juu ya yeyote aliyehusika na uhuni huu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK