NJIA 3 Rahisi Ambazo Zikizingatiwa Huweza Kurejesha Nguvu za Kiume..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Huenda umekuwa ukisumbuliwa na tatizo la ukosefu wa upungufu wa nguvu za kiume na umeshindwa kujua nini ufanye ili kutatua tatizo hilo.

Yafuatayo ni mambo ambayo ukizingatia wewe mwanaume mwenye tatizo hilo unaweza kupata ahueni:-

Epuka matumizi ya pombe.

Matumizi ya pombe huweza kukushawishi kufanya tendo la ndoa lakini pia pombe hiyo hiyo huweza kumnyima mhusika uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Hivyo kama unapenda kuepuka tatizo hilo jitahidi kuepukana na matumizi ya pombe.

Jitahidi kushiriki kufanya mazoezi

Watu wengi hujikuta wakisongwa na magonjwa mbalimbali kutokana na kutofanya mazoezi, lakini pia ni vyema ikafahamika kuwa mazoezi husaidia hata kufanya mzunguko wa damu kuwa mzuri ndani ya mwili jambo ambalo pia husaidia kwenye masuala ya tendo ya ndoa.

Jitahidi kupata muda wa kutosha wa kulala, punguza mawazo (stress) kula vizuri na upate muda wa kufurahi na marafiki na ndugu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad