Prof Maghembe Awashukuru Waliovamia Hifadhi za Misitu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe amewashukuru wavamizi  wa Msitu wa Hifadhi wa Isawima wilayani Kaliua ambao wameamua kwa hiari yao kubomoa makazi na kuondoka wao na mifugo yao katika eneo hilo ambalo ni miongoni mwa vyanzo vya maji ya Ziwa Tanganyika 
.
Ameyasema hayo Wilayani Kaliua mara baada ya kusomewa taarifa ya utekelezaji wa zoezi la kuwaondoa Wavamizi hao katika Msitu wa Hifadhi na kutembelea eneo walipoondolewa wavamizi na kisha kupata fursa ya kuongea na wananchi.

Amesema kuwa Serikali imefurahishwa na uamuzi huo uliochukuliwa na watu hao baada ya kupata elimu kuhusu athari za kimazingira za wao kung’ang’ania kuendelea kuishi katika maeneo yaliyohifadhiwa na kuamua kuondoka bila kushurutishwa.

“Serikali haina shida ya kumuonea  mtu na ndio maana tumekuwa tukiitumia zaidi elimu jambo ambalo limeleta mafaniko makubwa katika eneo la Hifadhi hii ambapo zaidi ya asilimia ya 70 ya watu waliokuwa wamevamia wameondoka,”amesema Prof. Maghembe
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad