Rais Magufuli Aufuata Ushauri wa Zitto Kabwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Siku moja baada ya Rais Magufuli kuzuru kituo cha shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Nakuagiza kupitiwa upya mkataba wa uliongiwa baina ya shirika hilo na kampuni ya kichina ya Startimes, Basi Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook ameandika hivi...

 "Nasikia Rais kaagiza kuhusu Mkataba wa StarTimes na TBC. Mwaka 2011 tulipata kuazimia Hivi;

"7.2.10 Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Mkataba baina ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC) na Star Times International Communication una mapungufu kadhaa ya kisheria na ambayo yamebainishwa na Mkaguzi wa Hesabu wa TBC baada ya kuchambua Mkataba na Taarifa ya Hoja za Ukaguzi,na kwa kuwa mapungufu hayo yanaweza kuwa na athari katika utendaji wa TBC kwa siku zijazo , kwa hiyo basi Kamati inapendekeza kuwa, Serikali iupitie upya Mkataba huo ili kuainisha maeneo ya maboresho, aidha Serikali ifanye utaratibu wa kuangalia namna nzuri ya kutoa fedha kwa uendeshaji wa TBC ili kiwe chombo cha utangazaji wa Umma chenye kujiendesha kwa uhuru na kwa maslahi ya Umma."
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad