RAY - Kuyumba kwa Tasnia ya Filamu ni Kitu cha Kawaida..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ amedai kuyumba kwa tasnia ya filamu ni hali ambayo inaweza kuikumba tasnia yoyote.

Muigizaji huyo ambaye anafanya vizuri na filamu ‘Gate Keeper’ amedai hali hiyo itaondolewa na wasanii hao kwa kufanya kazi kwa bidii.

“Tasnia ya filamu haijafa kama baadhi ya watu wanavyodai bali imeyumba na kuyumba ni kitu cha kawaida kabisa kwa binadamu kwani anaweza kuanguka na akasimama tena,” Ray Kigosi aliimbia Bongo5.

Anasema kwa hali hiyo wao kama watayarishaji wakubwa wamekaa kimya wakijipanga na kuendeleza harakati ambazo zitainua tena soko lao na filamu kurudi katika ubora wao kama zamani pamoja na changamoto zinazojitokeza kwao ni kipindi cha mpito tu.

“Lazima tasnia itarudi kama awali, ni sawa tu na maisha ya mtu asiyekata tamaa katika kutafuta anapopata changamoto anajipanga na kurudi tena na sisi itakuwa hivyo tutarudi kama awali,” anasema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad