SHILOLE - Harusi Yangu Utafungwa Kwenye Helkopta ..Sherehe Itafanyika Uwanja wa Taifa..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shilole amesema lengo lake sio tuu kuweka rekodi au kuonyesha ana uwezo mkubwa kifedha la hashaa!! Lengo lake ni kutaka kila shabiki yake kuhudhuria kwenye tukio hilo la kihistoria ambalo litafanyika angani kabla ya helkopita kutua uwanja wa mpira wa Taifa ambako mashabiki wake watakutana kushuhudia harusi hiyo.

“Ndoa yangu nitafungia juu ya Ndege (Helkopita),Tukishuka nashukia uwanja wa taifa…,hivi unategemea mimi nitaolewa tuu halafu watu waone picha zangu tuu? Mimi nataka watu waje kushuhudia.Ujue mimi nina mashabiki wengi na wote nataka waje waone Dada Mwajuma aking’olewa“Alisema Shilole kwenye mahojiano yake na Clouds Fm.

Shilole ambae hakutaka kuweka wazi jina la mchumba wake huyo mpya ambae watafunga nae ndoa kwa kuhofia kuporwa na walimwengu alisema mipango ya ndoa ipo ingawaje bado kwanza kuna vitu havijakaa sawa na ikifika muda atawatangazia mashabiki wake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad