UKWELI Mchungu..Wadada Mliozaliwa 80's na Hujaolewa Huu Sio Muda wa Kuchagua Tena..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kama kichwa kinavyojieleza wadada mliozaliwa 80's kama bado hujaolewa huu tena sio muda wa kuchagua wa kukuoa.

Kama ni mechi wanasema fungulia mbwa...yani sagula sagula..ngoma nagwaaa..jua lishakuchwaa...we olewa tu mengine yatajulikana mbele ya safari. Sasa we jitie yes no nyingi.. Utazeeka na kujipaka miwanja ya usoni kwa staili ya "mwenzenu sina mume".

Kwa wasiojua staili ya wanja ya "mwenzenu sina mume "ni ile staili ya wadada kunyoa nyusi zoote halafu unapaka wanja juu kidogo ya mstari wa nyusi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad