WATOTO Wawili Wafa Maji Tanga..Walidumbukia Kwenye Dimbwi la Maji ya Mvua Yaliyotuama..!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watoto wa wawili wa familia moja  wa kijiji cha Moa wilayani Mkinga, mkoani hapa, Kijiti Mohamed na Omari Maazizi (10) wamekufa maji baada ya kuzama katika dimbwi la maji ya mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia jana.

Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Tanga, Benedict Wakulyamba amesema kuwa watoto hao wamekufa maji leo (Jumamosi) mchaka katika kitongoji cha Mwakamba.

Wakulyamba amesema aliyeanza kuzama ni Omari ndipo dada yake akaamua kwenda kumuokoa ambapo hakuweza kufanikiwa, wakazidiwa na

kunywa maji yaliyosababisha kukosa pumzi hivyo kupoteza maisha.

“Watu waliokuwa karibu waliwatoa na kujaribu kuwapa huduma ya

kwanza lakini hawakuweza kufanikiwa sababu walishakuwa

wamekufa,”alisema Wakulyamba.

Ofisa elimu ya Sekondari wa Wilaya ya Mkinga, Omari Kombo amewataka

wazazi kuwa waangalifu kwa watoto katika kipindi hiki ambacho mvua zinaendelea kunyesha kwa sababu maeneo mengi yameharibika.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad