WATUHUMIWA wa Mauaji ya Polisi 8 na Raia Zaidi ya 30 Kibiti Mkoani Pwani Wapatikana..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la polisi nchini limetoa orodha ya majina 12 ya wanaotuhumiwa kuratibu na kuendesha harakati na mauaji ya viongozi wa serikali za vijiji katika wilayani Mkuranga, Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani Pwani.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani, Onesmo Lyanga amesema kupatikana kwa watuhumiwa hao pamoja na picha ni kutokana na oparesheni inayoendelea na vyombo vya ulinzi katika Wilaya hizo.

“Tumeweza kuwa baini Watuhumiwa wa mauaji hayo, Watuhumiwa hao wameweza kubainika kwa majina na picha kwa baadhi yao ni matokeo ya oparesheni inayoendeshwa na vyombo vya ulinzi, Mtuhumiwa wa kwanza ni Faraji Ismail Nangalava, Anaf Rashid kapera, Said Ngunde, Omary Abdalla Mandimbwa, Shaban kinyangulia, Haji Ulatule, Ally Ulatule, Hassan Njame, Rashid Salum Mtulula, Shekhe Hassan Nasri Mzuzuzi, Hassan Uponda,” alisema Kamanda Lyanga.

“Jeshi la polisi limebaini haya kushirikiana na wasiri wetu huku tukiendelea na uchunguzi zaidi,” aliongeza.

Jeshi hilo linatoa wito kwa jamii kutoa ushirikiano kufichua kwa siri watuhumiwa kwani wanahatarisha hali ya usalama katika mkoa huo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad